Ujenzi wa Barabara kuunganisha Mkoa wa Katavi na Tabora washika kasi - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

4 Jul 2019

Ujenzi wa Barabara kuunganisha Mkoa wa Katavi na Tabora washika kasi

Ujenzi wa Barabara kutoka mkoani Katavi wilayani Mpanda-Inyonga-sikonge-Tabora kwa kiwango cha lami washika kasi KM 364 zaidi ya Bilioni 300 kutumika. Hongera Dkt. Magufuli Rais kwa kukamilika Barabara hii na kutaifungua Katavi na kuendelea kuwa kinara kwa kilimo.
Image may contain: one or more people and outdoor

Post Bottom Ad