Rais Kenyatta wa Kenya kufanya ziara nchini Tanzania - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

4 Jul 2019

Rais Kenyatta wa Kenya kufanya ziara nchini Tanzania

Tokeo la picha la jpm na kenyata
Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa. Rais Magufuli ataonana na Rais Kenyatta akiwa Mkoani Geita ataonana na Rais Uhuru siku ya tarehe 05 Julai, 2019 kwa ziara binafsi ya siku mbili kwa mwaliko wa mwenyeji wake Rais wa Tanzania.

Image may contain: text

Post Bottom Ad