Katibu Mkuu Dr. Mashinji aipongeza Taifa Stars kwa juhudi waliyoionyesha katika AFCON 2019 - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

28 Jun 2019

demo-image

Katibu Mkuu Dr. Mashinji aipongeza Taifa Stars kwa juhudi waliyoionyesha katika AFCON 2019

jiachie
Dr. Mashinji kupitia ukurasa wake wa twitter amewatia wachezaji wa Timu ya Tanzania iliyocheza mchezo wa jana dhidi ya Kenya-Harambee Stars baada ya matokeo ya mechi hiyo kuisha kwa Tanzania kuzidiwa nguvu na Kenya kwa goli tatu kwa mbili. Katika mchezo huo zimeibuka kauli zenye kuonyesha dharau na lawama kwa timu ya taifa kutoka kwa vijana mbalimbali ambao wengi wao wameonekana kuwa na mahaba zaidi ya kisiasa kuliko michezo. Ambapo amewataka watu wote wanaoongea maneno ya kuwabeza na ubaguzi na kuwaambia kuwa wao ni timu ya taifa na wanaliwakilisha taifa.

ttttt

Post Bottom Ad

Pages