Zitto Kabwe afurahishwa na kasi ya awamu ya tano, asema anaunga mkono juhudi za Rais - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

27 Jun 2019

demo-image

Zitto Kabwe afurahishwa na kasi ya awamu ya tano, asema anaunga mkono juhudi za Rais

jiachie
Kupitia akaunti yake ya twitter mbunge ZZK ameonyesha kufurahishwa na kasi ya maendeleo ya Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na jemedari JPM. Aamua kuweka wazi hisia zake


Maneno hayo pia amewahi kuyatamka katika ziara ya Rais Magufuli aliyoifanya mkoani kigoma alipopewa nafasi ya kuwahutubia wananchi wa Kigoma kama mbunge wao.
 

Post Bottom Ad

Pages