Mwanadada Rihana aongoza kwa utajiri kwa wanamziki wa kike duniani - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

27 Jun 2019

Mwanadada Rihana aongoza kwa utajiri kwa wanamziki wa kike duniani

Rihana(31) ndiye mwanamuziki wa kike tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa TZS trilioni 1.4($600m). Mbali na kuingiza fedha kupitia muziki, pia anamiliki sehemu ya kampuni ya bidhaa za urembo na mavazi, Fenty Beauty. Anafuatiwa na Madonna($570m)na Celine Dion($450m).

Post Bottom Ad