Mwanadada Rihana aongoza kwa utajiri kwa wanamziki wa kike duniani - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

27 Jun 2019

demo-image

Mwanadada Rihana aongoza kwa utajiri kwa wanamziki wa kike duniani

jiachie
Rihana(31) ndiye mwanamuziki wa kike tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa TZS trilioni 1.4($600m). Mbali na kuingiza fedha kupitia muziki, pia anamiliki sehemu ya kampuni ya bidhaa za urembo na mavazi, Fenty Beauty. Anafuatiwa na Madonna($570m)na Celine Dion($450m).

62081314_504573273682166_3086042707798261760_n.jpg?_nc_cat=104&_nc_oc=AQnz_c6eo9_MKwNTcmZT0htuRzvgn4_ygWH3ZvW4U_qiIjjkT2APf5rHTFxlXy0O92U&_nc_ht=scontent.fzag1-1

Post Bottom Ad

Pages