Serikali yawawashia moto makandarasi wanaoharibu miradi - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

20 Jun 2019

Serikali yawawashia moto makandarasi wanaoharibu miradi

Serikali imesema itaweka bayana majina ya makandarasi wote wanaoharibu miradi ya maji kwa kuitekeleza chini ya kiwango na kuwachukulia hatua kali za kisheria katika hatua ya kumaliza tatizo la utendaji mbovu kwenye kazi za miradi ya maji linalochangia wananchi kukosa huduma ya maji.
Image may contain: 2 people, people standing and outdoor

Post Bottom Ad