Serikali yawawashia moto makandarasi wanaoharibu miradi - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

20 Jun 2019

demo-image

Serikali yawawashia moto makandarasi wanaoharibu miradi

jiachie
Serikali imesema itaweka bayana majina ya makandarasi wote wanaoharibu miradi ya maji kwa kuitekeleza chini ya kiwango na kuwachukulia hatua kali za kisheria katika hatua ya kumaliza tatizo la utendaji mbovu kwenye kazi za miradi ya maji linalochangia wananchi kukosa huduma ya maji.
64575497_2294646770747735_7469585732818960384_o.jpg?_nc_cat=103&_nc_oc=AQkBThabxfPuivJh1xGC37pZFUxAh8sKQIiBPV5cioypCKa-I8TnbPe5YJxKoUahecA&_nc_ht=scontent-mrs2-2

Post Bottom Ad

Pages