Bondia Andy Ruiz amponda Anthony Joshua asema hana jipya kwake - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

27 Jun 2019

Bondia Andy Ruiz amponda Anthony Joshua asema hana jipya kwake

"Najua udhaifu wake, kitu pekee anachoweza kufanya ni kukimbia kimbia tu ulingoni, sio mzuri kwenye ndondi, sio Bondia mzuri"-Bondia Andy Ruiz akimzungumzia Bondia Anthony Joshua aliyemtwanga hivi karibuni.

Post Bottom Ad