MKUU wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha Frank Mwaisumbe aendesha kampeni ya kuokoa maisha ya kina mama - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

20 Jun 2019

demo-image

MKUU wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha Frank Mwaisumbe aendesha kampeni ya kuokoa maisha ya kina mama

jiachie
Na Zanura Mollel,LONGIDO
MKUU wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha Frank Mwaisumbe amezindua kampeni ya jiongeze tuwavushe salama wilayani hapa iliyobeba dhamira ya kuokoa maisha ya mama na mtoto kabla na baada ya kujifungua.
64833480_2294590150753397_2615666247546699776_n.jpg?_nc_cat=108&_nc_oc=AQkZX5RkEcMokajWJQHaDrr5T1gieFAhWREupWrueZ-fJ_j78xEDyvw3jIzkVfIbeE0&_nc_ht=scontent-mrs2-2
Kauli mbiu katika kampeni hiyo ni " kila mmoja wetu anao wajibu wa kuzuia vifo vitokanavyo na uzazi,na vya watoto wachanga,maneno basi,sasa vitendo"
Picha: Na Zanura Mollel
64973883_2294590187420060_2966185701168644096_n.jpg?_nc_cat=108&_nc_oc=AQknK_fUSb-Tt9WnwCPiL6ePkGvduj_H8LoA3tGQM-K0NDXnSEIdFXQQettVuVN-sAA&_nc_ht=scontent-mrs2-2

Post Bottom Ad

Pages