Adha ya usafiri Ziwa Nyasa kufikia ukomo mwezi September, Magufuli aja na MV Mbeya II - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

20 Jun 2019

demo-image

Adha ya usafiri Ziwa Nyasa kufikia ukomo mwezi September, Magufuli aja na MV Mbeya II

jiachie
Meli Mpya ya MV Mbeya II imegharimu bilioni 9.1, ina uwezo wa kupakia mizigo tani 200 na abiria 200, itafanya safari zake katika Ziwa Nyasa kuanzia Mwezi September itakapokuwa imekamilika....Huu utakuwa Mwisho wa Adha ya usafiri wa abiria hasa waishio wilaya Kyela na Ziwa Nyasa huko Mbeya.
64427126_2285199304889851_6342907139815636992_n.jpg?_nc_cat=103&_nc_oc=AQnxI7Px17WRy4F3pdalv7GSgn0A9EJq0CZ_oncgTgTZtDPnEFVceyAViivFObh6kX0&_nc_ht=scontent-mrs2-2
Habari Hizi Huwezi kuzipata kwa Nyumbu"

Post Bottom Ad

Pages