Alichokisema Jakaya Kikwete kufuatia kifo cha Ruge Mutahaba - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

27 Feb 2019

demo-image

Alichokisema Jakaya Kikwete kufuatia kifo cha Ruge Mutahaba

jiachie
Haya ni maneno ya JMK aliyoyaandika kuwapa pole Watanzania kufuatia kuondokewa na Kipenzi chao Ruge Mutahaba
Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo cha Ruge Mutahaba. Taifa limepoteza kijana wake mahiri, mbunifu na mzalendo wa kweli. Nimepoteza rafiki, mshirika mwaminifu na mtu ambaye amenisaidia kwa mengi ktk uongozi wangu na hata baada ya kustaafu.
D0WznX3WkAAsSeU

Post Bottom Ad

Pages