Watu 7 wanashikiliwa kwa kukutwa na vipande 9 vya meno ya tembo vya shilingi milioni 210 - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

27 Feb 2019

demo-image

Watu 7 wanashikiliwa kwa kukutwa na vipande 9 vya meno ya tembo vya shilingi milioni 210

jiachie
Watu 7 wanashikiliwa na Polisi Morogoro kwa tuhuma za kukutwa na vipande 9 vya meno ya tembo (TZS 210m). Kwa mujibu wa RPC Wilbroad Mutafungwa vipande hivyo vimetokana na ujangili katika Hifadhi ya Selous. Idadi ya tembo wanaliouawa imepungua kufikia 23 mwaka 2018, kutoka 194.
D0VeOK_WoAEeQfn

Post Bottom Ad

Pages