Jinsi hali ya uchumi wa Tanzania unavyopotoshwa - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

25 Jun 2019

demo-image

Jinsi hali ya uchumi wa Tanzania unavyopotoshwa

jiachie

Dkt. Bashiru Allly~Kuna mchumi mmoja kila anapochangia kuhusu uchumi wa nchi anapotosha, sijui kwasababu ni mwanasiasa. Mimi najua ugonjwa anaougua, amewekwa mfukoni na mabeberu. Tangu amejifanya kiongozi kuliko viongozi wote wa vyama vya siasa anaanza kupotosha.
64744233_626542281184739_6752106244816764928_n.jpg?_nc_cat=109&_nc_oc=AQlFqKtLEUGkb4uFPBRLtVippNoDtiXA79SE3FxKNevs0NqUJHTIrRxHNzLJNM45CNM&_nc_ht=scontent.fzag4-1
Nchi ambayo uchumi wake umekufa /haukui inaweza kununua ndege, tena kwa fedha taslimu? nchi ambayo uchumi wake haukui inajenga vituo vya afya kila kata nchi hii? tunasambaza umeme hadi vijijini kwenye nyumba za tembe, watoto wanasoma bure

Post Bottom Ad

Pages