Dr akumbana na kizaaza baada ya kuwapachika mbegu zake wanawake 13 - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

27 Jun 2019

demo-image

Dr akumbana na kizaaza baada ya kuwapachika mbegu zake wanawake 13

jiachie

CANADA: Dkt. Norman Barwin amefutiwa leseni baada ya kubainika alitumia mbegu zake kuwapa ujauzito wagonjwa 13. Uchunguzi wa madai hayo ya tangu mwaka 1970, ulianza kufanyika 2016.
Vitendo vya daktari huyo vilipelekea baadhi ya familia kufarakana sababu ya mimba isiyo na mwenyewe. 

65098331_518525365620290_2958238435418046464_n.jpg?_nc_cat=109&_nc_oc=AQn6eVKdkJM2Mct8ZsseELpwSRUeI7RNauKCPcKuq2ctWq8CsKksgZ6xj8-1iWdA614&_nc_ht=scontent.fzag1-1

Post Bottom Ad

Pages