Muonekano mpya wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

19 Jun 2019

Muonekano mpya wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport

Picha hizo zimepostiwa na Msemaji wa Serikali kupitia katika akaunti yake ya mtandao wa Twitter zikionyesha muenendo matengenezo ya uwanja mpya huku watu wengi wakionyeshw akuridhishwa na hatua ambayo hadi sasa ujenzi wa uwanja huo imefikia huku wakiipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya mawasiliano ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa muda wowote kuanzia sasa uwanja huo utazinduliwa tayari kwa kuanza kuhusdumia wasafiri kutoka mataifa mbalimbali duniani.




No photo description available.

Image may contain: one or more people

No photo description available.

No photo description available.

Image may contain: one or more people and indoor

Image may contain: indoor

Image may contain: one or more people, people standing and indoor



Post Bottom Ad