Muonekano mpya wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

19 Jun 2019

demo-image

Muonekano mpya wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport

jiachie
Picha hizo zimepostiwa na Msemaji wa Serikali kupitia katika akaunti yake ya mtandao wa Twitter zikionyesha muenendo matengenezo ya uwanja mpya huku watu wengi wakionyeshw akuridhishwa na hatua ambayo hadi sasa ujenzi wa uwanja huo imefikia huku wakiipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya mawasiliano ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa muda wowote kuanzia sasa uwanja huo utazinduliwa tayari kwa kuanza kuhusdumia wasafiri kutoka mataifa mbalimbali duniani.
D9U55zAXkAAqALB


D9U56XbWsAEOHrh

D9U566DXYAEQcr-

64657916_485933465477711_3384946915199156224_n.jpg?_nc_cat=106&_nc_oc=AQnxHguQY8HTkHUmLaIROxQWnGTmEB32sQExWpsZk6O5zocyaB3zHFuLSkohi986QOo&_nc_ht=scontent-mrs2-2

64398203_485933502144374_3989699012218322944_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_oc=AQk9k3crqZ1tKEq5AAtab5ZgmB-GVVgNN3DFGzlvN8hZPK-EyJy2K0h34R183bq07Zo&_nc_ht=scontent-mrs2-2

64387112_485933532144371_4499269432752734208_n.jpg?_nc_cat=101&_nc_oc=AQkfDKweSwBJfgTPkdX81aUCRlKXhmRRyogunvupbzyp3JiFvNs0RivZ9dK356Dxe7Y&_nc_ht=scontent-mrs2-2

64302944_485933605477697_8185931783246708736_n.jpg?_nc_cat=110&_nc_oc=AQkmc5d8WLm3fpf1JvUftYBizPzDgetbK22lcRvckU5HxFlVVJBPMo1uX-moCP1WNPE&_nc_ht=scontent-mrs2-2

65021503_485933642144360_6215735864010473472_n.jpg?_nc_cat=110&_nc_oc=AQnSdLsXPlsUxbv52n9DXLTgMjWXzewLSoHNMnJKMqhI5tt0UMWcHUQC6CHXGcZKjFU&_nc_ht=scontent-mrs2-2

64637535_485933675477690_103522253865484288_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_oc=AQn9mpRRgAYZ6m79lrfaCPAHiMmCKI6zAfbbwRXzysYsuU2O_3iJWBlRrHKmhCW0HFw&_nc_ht=scontent-mrs2-2

64565183_485933708811020_2842310048258981888_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_oc=AQlLo3cQGOtFLyVqp4K_vlJ1ryfFgOTxfQXoPFgdVJmgUAzKQl47icSnwtxaVDzz-b4&_nc_ht=scontent-mrs2-2



Post Bottom Ad

Pages