ATCL yazidi kuimarika, karibuni itapokea mwali BOENG 787-8 - Yajayo Yanafurahisha | "Muda Unaongea"

top+logo

"Muda Unaongea"

Breaking

Home Top Ad

jiachie

Post Top Ad

24 Mei 2018

demo-image

ATCL yazidi kuimarika, karibuni itapokea mwali BOENG 787-8

jiachie
33193235_171012670403486_1347545740011896832_n



•Ndege yetu aina ya Boeing 787-8 imemaliza hatua zote muhimu za uunganishwaji wa vifaa vya ndani kwa mafanikio makubwa. 
•Zoezi hilo lililoanza 4/5/2018 na kumalizika 21/05/2018 linatoa picha ya ndege hii kuweza kuwa delivered kabla hata ya tarehe tajwa (9/7/2018).
•Hatua inayofuata ambayo kimsingi ndiyo ya mwisho ni Pre Flight preparation, testing and certification. Pre flight prep zitaanza leo mpaka pale watakapojiridhisha na kuset tarehe ya delivery. 
•Ndege hii itakuwa na seat 22 za Business Class na seat 240 za Economy Class. 
Heko kwa serikali ya JPM.

Post Bottom Ad

Pages